Waziri Mkuu
Sunday, May 10, 2009
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Tunu wakipata maelezo kutoka kwa Rose Mongi (kulia) ambaye ni mtaalamu wa utafiti wa mbegu bora katika kituo kidogo cha utafiti cha Milundikwa wilayani Nkasi, mkoani Rukwa kuhusu utafiti wa mbegu bora za ngano wakati walipotembelea shamba la kituo hicho juzi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

0 comments:
Post a Comment